Sinta Aamua kuachana na Bongo Movie

 
Mkali wa zamani wa maigizo, Sinta ambae alitamba na skendo kibao kipindi hicho na unaambiwa yeye ndiyo wa kwanza kuwa na skendo kubwa Bongo,  amefunguka  na kueleza kwa sasa ana ishu gani mjini.
 
Sinta ambaye alikuwa pia muigizaji mahiri anasema “Kwa sasa sitaki tena kujiingiza katika bongo move najishughulisha na biashara zangu binafsi na nipo katika hatua za mwisho kukamilisha lebo yangu ya wasanii wa bongo fleva.”
 
Hata hivyo Sinta alimalizia kwa kusema kwa sasa anawaachia machipukizi wanaoibukia katika bongo move nao kufanya vizuri na kusongeza saana ya bongo na pia hataki tena maswala ya skendo za aina yeyote huku akisema kwa sasa anamsimamia msaniianayejulikana kwa jina la Tino ndo ambaye taari yupo katika lebo yake.
Previous
Next Post »

Total Pageviews