Mashabiki wa Diamond Washerehekea Tangazo hili la MTV Base


Seems like Diamond Platnumz amewapa taarifa muhimu MTV Base.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, kituo hicho cha runinga kiliandika kuwa staa huyo anakuja na collabo na Chris Brown.

“@diamondplatnumz working on a future project with #chrisbrown,” wameandika.

Taarifa hiyo ilipokelewa kwa furaha kubwa na mashabiki wake waliomwaga lundo la comments takriban 900. Comments nyingi ni za mashabiki wanaobishana na kutukanana hata hivyo, SMDH!
Previous
Next Post »

Total Pageviews