Ndoa ya Diamond Platnumz na Zari Hassan inanukia?


Diamond Platnumz ameidhihirishia Dunia kuwa Mpenzi wake wa Sasa Zari Hassan si wa Kupita tu

Na ndio maana ujumbe alioandika Diamond kwenye Instagram unaashiria kuwa huenda siku za wao kuwa Mr and Mrs Chibu rasmi zimekaribia.

“A Morning Convo with My Beautiful Wife to be…. taking Blessings on what we about to do today…She always makes me Smile….Love you so Much Mama tee @ZaritheBossLady Nkwagara Nyo,” ameandika Diamond kwenye picha ya mazungumzo kwenye app ya Facetime.

Baraka anazozizungumzia Diamond kwenye ujumbe huo ni za utambulisho wa kitu kikubwa kutoka WCB ambacho licha ya mimi kuwa najua ni nini, kwa heshima na taadhima nawaachia wao wenyewe waumwage mchele muda ukifika.

“Blessed to see another day,
Stay tuned @wcb_wasafi is dropping a new hit today, you surely don’t wana miss this one,” ameandika Zari.
Previous
Next Post »

Total Pageviews